Jumanne, 26 Novemba 2013
Hii ndio list mpya ya wasanii wa hip hop wenye pesa ndefu
1. Diddy ($50 million)
2. Jay Z ($43 million)
3. Dr. Dre ($40 million)
4. Nicki Minaj ($29 million)
5. Birdman ($21 million)
6. Kanye West ($20 million)
7. Lil Wayne ($16 million)
8. Wiz Khalifa ($14 million)
9. Ludacris ($12 million)
10. Pitbull ($11 million)
11. Drake ($10.5 million)
12. Snoop Lion ($10 million- tie)
12. Eminem ($10 million- tie)
13. Kendrick Lamar ($9 million -tie)
14. Pharrell Williams ($9 million -tie)
15. Macklemore & Ryan Lewis ($9 million -tie)
16. Swizz Beatz ($8.5 million)
17. Tech N9ne ($7.5 million)
18. 50 Cent ($7 million)
19. Lil Jon ($6 million -tie)
20. Rick Ross ($6 million -tie)
21. Mac Miller ($6 million -tie)
22. Young Jeezy ($6 million -tie)
23. Questlove ($6 million -tie)
2. Jay Z ($43 million)
3. Dr. Dre ($40 million)
4. Nicki Minaj ($29 million)
5. Birdman ($21 million)
6. Kanye West ($20 million)
7. Lil Wayne ($16 million)
8. Wiz Khalifa ($14 million)
9. Ludacris ($12 million)
10. Pitbull ($11 million)
11. Drake ($10.5 million)
12. Snoop Lion ($10 million- tie)
12. Eminem ($10 million- tie)
13. Kendrick Lamar ($9 million -tie)
14. Pharrell Williams ($9 million -tie)
15. Macklemore & Ryan Lewis ($9 million -tie)
16. Swizz Beatz ($8.5 million)
17. Tech N9ne ($7.5 million)
18. 50 Cent ($7 million)
19. Lil Jon ($6 million -tie)
20. Rick Ross ($6 million -tie)
21. Mac Miller ($6 million -tie)
22. Young Jeezy ($6 million -tie)
23. Questlove ($6 million -tie)
Ijumaa, 15 Novemba 2013
Snura na mrisho ngasa wasadikika kuwa wapenzi
Mshambuliaji wa timu ya taifa,Taifa Stars na Mchezaji wa Yanga Mrisho Ngasa amenaswa live akiwa na muimbaji wa majanga “Snura Anton Mushi”. Bado haijajulikana wazi kama mastaa hao wawili wanauhusiano wa kimapenzi au labda wanaigiza movie?
Mastaa hao wawili walinaswa live wakiwa kwenye nyumba ya Snura Anton Mushi iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
BAADA YA BIASHARA KUWA NGUMU WACHINA SASA NAO WAINGIA BONGO MOVIES
Baada ya kumuingiza shabiki maarufu wa yanga football club “Steven” sasa Dr Cheni afanya mabadiliko makubwa ya bongo movie baada ya kumuweka mchina kwenye movie yake mpya.
Moja ya scenes ambazo mchina huyo amecheza ni sehemu ambayo amefumaniwa akiwa Guest.
Tuliamua kumtafuta Mchina huyo Mr. Chaoxiang Deming ( 朝翔 德明 ) kujua kwanini kwanini amemua kujiingiza kwenye tasnia ya filamu nchini na alidai kuwa kwa sasa biashara imekuwa ngumu kidogo hivyo sio mbaya akajaribu kufanya mambo mawili matatu kuongeza kipato
Jumatano, 13 Novemba 2013
VIDEO ZA MSHIRIKI WA TANZANIA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER .
Mshiriki wa kiume wa Tanzania,
Nando ametutia aibu baada ya uvumilivu kumshinda na kuamua
kufanya tendo la ngono hadharani akiwa katika jumba la big
brother....
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)